Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani



Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani

Labels

Sunday, August 20, 2017

Wanachama wa Simba wapitisha mabadiliko.

Wanachama wa Simba wamepitisha mfumo wa mabadiliko ya uendeshaji wa klabu hiyo kwenye mkutano mkuu maalumu uliofanyika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Jumapili.

Wanachama hao wamebariki mabadiliko hayo baada ya kupiga kura za kukubali au kukataa ambapo ni mwanachama mmoja kati ya ya 1,217 alipinga.

Katika mkutano huo uliofanyija jijini Dar es Salaam leo Jumapili, wanachama hao walipiga kura ya wazi wakihojiwa na Kaimu Rais wa Simba, Salim Abdallah.

0 comments:

Post a Comment