Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani



Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani

HABARI KWA WAKATI KUTOKA HAPA

Tunakuhakikishia kupata habari zote zilizo muhimu kutoka ulimwenguni kote kwa wakati, unaweza kusubscribe mtandao wetu na ukawa unapokea habari zote katika email yako punde tu tuchapishapo machapisho yetu. Jiunge na mitandao yetu ya Facebook na Twitter kutupata kirahisi.

Labels

Showing posts with label General News. Show all posts
Showing posts with label General News. Show all posts

Monday, March 19, 2018

Mambo muhimu ya kuhakikisha usalama wako mvua inaponyesha.

  Maafisa wa Mamlaka ya Taifa ya Usalama Barabarani (NTSA) pamoja na Shirika la Msalaba Mwekundu Kenya wametoa ushauri ambao unaweza kukufaa sana wakati huu wa mvua. Fahamu kwamba wakati wa kiangazi, vumbi, mchanga na taka za aina mbalimbali hurundikana barabarani. Mvua inaponyesha, husababisha barabara kuwa telezi na kwa hivyo ukiwa na gari ni muhimu kutoendesha gari lako kwa mwendo wa kasi kupindukia kwani gari likiteleza utashindwa...

Thursday, February 22, 2018

MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA MAHAFALI YA 34 YA CHUO KIKUU HURIA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewakumbusha wahitimu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kuwa Vyeti walivyotunukiwa ni tuzo halali kwa juhudi na jitihada walizoonesha darasani. Makamu wa Rais aliyasema hayo wakati wa sherehe za mahafali ya 34 ya Chuo Kikuu Huria yaliyofanyika kwenye uwanja wa Halmashauri Bariadi mkoani Simiyu. Makamu wa Rais alisema “ Jamii inategemea mtaipatia tuzo ya utendaji bora...

Tuesday, February 20, 2018

TANZANIA YAZIDI KUNAWILI KIUTALII KENYA YAKIRI.

Kenya imekiri kuwa imekuwa ikipoteza watalii kwenda Tanzania miaka ya hivi karibuni. Akizungumza kwenye kituo cha runinga ya Citizen nchini Kenya, waziri wa utalii nchini Kenya, Najib Balala, aliezea wasi wasi kuhusu hali ya mahoteli nchini Kenya, akisema kuwa ukosefu wa hoteli za viwango vya kimataifa nchini Kenya imechangia Tanzania kuwa chaguo la watalii kanda hii ya Afrika Mashariki. "Sababu ambayo ilichangia Tanzania kufanya vyema ...

Monday, February 19, 2018

FAO launches guide to tackle Fall Armyworm in Africa head-on Fighting FAW in an integrated, ecological and sustainable way

Rome - Faced with the infestation of millions of hectares of maize, most in the hands of smallholder farmers, and the relentless spread of Fall Armyworm (FAW) across most of Africa, the UN Food and Agriculture Organization (FAO) launched today a comprehensive guide on the integrated pest management of the FAW on maize. The guide was developed with a host of partners: International Institute of Tropical Agriculture (IITA), International Centre...

Tanzania sets record in potato research, to release improved varieties.

By Zephania Ubwani @ubwanizg3 Tanzania has excelled in experimental trials of high yielding and disease resistant potato varieties under a climate smart agriculture programme aimed to improve food security. Three of 14 varieties brought into the country by the International Potato Centre (CIP) for field trials in Lushoto district did well and two of them will soon be released toThese are Unica, locally known as Mkanano, and Shangii which will...

Monday, February 5, 2018

Dk.Mwigulu aiagiza Polisi Pangani kudhibiti wahamiaji Haramu.

Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Mwigulu Nchemba amelitaka jeshi la polisi kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa na kwamba taasisi hiyo ndiyo inayoshughulika na haki za watu na wasipofanya kwa uadilifu yapo madhara makubwa kwa jamii na kutoka kwa wahalifu.  Akizungumza  katika uzinduzi wa ujenzi wa Kituo cha polisi Wilaya ya Pangani, Dk Mwigulu amesema kuwa wilaya ya Pangani ni lango ambalo wahalifu hasa...

Tuesday, January 23, 2018

Ajali ya Basi Yaua Wawili na Kujeruhi 8 Jijini Mwanza

Watu  wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine wanane kujeruhiwa vibaya katika ajali ya mabasi mawili yakugongana uso kwa uso katika kijiji cha Kamanga, Sengerema mkoani Mwanza saa nne asubuhi jana. Akizungumzia ajali hiyo, shuhuda aliyekuwa katika pikipiki na kunusurika kugongwa na mabasi hayo, Philipo Budeba, alisema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa mabasi yote mawili. “Mimi nilikuwa naendesha pikipiki,...

Thursday, January 4, 2018

Zitto Kabwe ahoji Gawio la TZS 300 bilioni kutoka Benki Kuu limetoka wapi?

...

Thursday, December 28, 2017

RAIS MAGUFULI AWAONYA WATUMISHI WA UMMA KUHUSU TAMKO LA MALI.

Rais John Magufuli amewasilisha fomu ya tamko kuhusu rasilimali na madeni katika ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma iliyopo Mtaa wa Ohio wilayani Ilala jijini Dar es Salaam. Baada ya kuwasilisha fomu leo Alhamisi Desemba 28,2017 ikiwa ni siku moja baada ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuwataka viongozi kuziwasilisha, ameipongeza sekretarieti kwa kazi inazofanya. Pia, amemtaka Kamishna wa Maadili, Jaji mstaafu Harold...

Tuesday, December 26, 2017

CCM YAMJIBU ASKOFU KAKOBE

Askofu Zakary Kakobe...

Tundu Lissu asimama kwa mara ya kwanza akiwa hospitalini Nairobi.

Mwanasheria mkuu wa chama upinzani Chadema nchini Tanzania Tundu Lissu, ameweza kusimama kwa mara ya kwanza baada ya kushambuliwa. Tundu Lissu amekuwa akipokea matibabu Nairobi tangu alipopigwa risasi na watu wasiojulikana jijini Dodoma mwezi Septemba. Katika picha iliowekwa katika ukurasa wa Facebook wa CHADEMA, mbunge huyo anaonekena akisimama akisaidiwa na wahudumu wawili wa hospitali. Ujumbe ulioambatana na picha ukisema "Wiki iliyopita...

WB:Uchumi Rwanda kukua kwa 17% kila mwaka.

RIPOTI ya Benki ya Dunia kuhusu uchumi wa Rwanda, inakadiria kuwa hadi mwishoni mwa mwaka huu, ukuaji utaongezeka hadi asilimia 5.2. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, katika nusu ya kwanza ya mwaka huu, uchumi wa nchi hiyo ulikua kwa asilimia 3.4. Wakati huohuo, Waziri Mkuu wa Rwanda, Edouard Ngirente amesema kuwa katika miaka saba ijayo, uchumi wa nchi hiyo unakadiriwa kukua kwa asilimia 17 kila mwaka. Inakisiwa kuwa kasi ya ukuaji itaongezeka mwakani...

EAC KUFANYA MABADILIKO MAKUBWA MWAKA UJAO.

Wakuu wa nchi na Serikali za Afrika, wakiwemo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), mapema mwakani wanatarajiwa kusaini makubaliano ya kuanzishwa kwa eneo huru la biashara la bara hilo (CFTA). Wanatarajiwa kuwa na mkutano wa 30 wa kawaida Januari 28 na 29 mwakani katika ukumbi wa Nelson Mandela uliopo kwenye Kituo kipya cha Mikutano (AUC) jijini Addis Ababa, Ethiopia. Mkutano huo utakaokuwa nakaulimbiu; “Kushinda Vita Dhidi ya Rushwa: Mwelekeo...

Sunday, December 24, 2017

Tigo mtandao gharama zaidi zaidi kupiga, kutuma sms kuliko yote Tanzania.

Wateja wa Tigo ndio wanaolipa fedha nyingi zaidi kupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaonyesha. Ripoti ya robo ya tatu ya mwaka huu ya TCRA inabainisha kuwa wateja wa mtandao huo hulipa zaidi kufanya mawasiliano kwa namna zote; iwe kupiga au kutuma sms ndani au nje ya mtandao au kufanya hivyo nje ya nchi. Ripoti ya TCRA kwa robo iliyoishia Septemba inaonyesha wateja wa Tigo hutozwa...

Wednesday, December 20, 2017

Taasisi ya kifedha ya Pride taabani kifedha

Taasisi ya mikopo ya Pride Tanzania ipo taabani kifedha ikidaiwa kushindwa kujiendesha. Licha ya hilo, taasisi hiyo inadaiwa kuwa imeshindwa kutoa mikopo kwa wateja wake na kulipa stahili za wafanyakazi ikiwa pamoja na michango ya pensheni na kodi ya Serikali. Pride ilianzishwa Mei 5, 1993 chini ya Sheria ya Kampuni (CAP 212) kwa lengo la kutoa mikopo midogomidogo kwa wajasiriamali. Hata hivyo, utendaji wake umekuwa ukishuka siku hadi siku. Mkurugenzi...

Monday, December 18, 2017

Kinana kuendelea kuwa katibu mkuu wa CCM.

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania Abdurahman Kinana ataendelea kuwa katibu mkuu wa chama hicho. Taarifa kwamba ataendelea kuhudumu zimepokelewa kwa shangwe na vigelegele na wajumbe wanaohudhuria mkutano mkuu wa tisa wa chama hicho mjini Dodoma. Rais Magufuli ambae ndiye mwenyekiti wa sasa, alitangaza uamuzi huo wa Bw Kinana kwa wajumbe hao takriban 1,900. Katika hotuba yake ya ufunguzi, Dkt Magufuli alimshukuru katibu...

Waziri SMZ alalamika sukari ya Zanzibar kuzuiwa kuuzwa Bara.

Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko wa Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amelalamikia katazo la Serikali ya Muungano kuzuia sukari inayozalishwa Zanzibar kuuzwa Bara akisema ni kinyume na matakwa ya Muungano na matakwa ya soko. Akizungumza na Mwananchi ofisini kwake mjini Zanzibar hivi karibuni, Balozi Amina alisema wamekuwa na majadiliano na Serikali ya Muungano kuhusu kadhia hiyo ambayo pia yataendelea mwisho wa mwezi huu. Hata hivyo, Waziri...

Sunday, December 17, 2017

Zitto gives three reasons for boycotting January by-elections in three constituencies, six wards

ACT Wazalendo has given three reasons for boycotting the January parliamentary by-elections in three constituencies and civic polls in six wards. A statement issued on Sunday, December 17, by ACT Wazalendo leader Zitto Kabwe mentions the reasons as the country’s unfair democratic space, little time available for mobilisation of financial resources and a need to concentrate on January parliamentary sessions. Mr Kabwe said democratic freedom and...