Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani



Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani

HABARI KWA WAKATI KUTOKA HAPA

Tunakuhakikishia kupata habari zote zilizo muhimu kutoka ulimwenguni kote kwa wakati, unaweza kusubscribe mtandao wetu na ukawa unapokea habari zote katika email yako punde tu tuchapishapo machapisho yetu. Jiunge na mitandao yetu ya Facebook na Twitter kutupata kirahisi.

Labels

Showing posts with label BURUDANI. Show all posts
Showing posts with label BURUDANI. Show all posts

Monday, November 13, 2017

HUU NDIO UJIO WA ALBAM MPYA YA DIAMOND IITWAYO "A BOY FROM TANDALE"

Ni alipokuwa akifanya mazungumzo baina ya Salim Kikeke wa shirika la Utangazaji la Uingereza BBC na Msanii Diamond Platnumz Alipotembelea BBC LONDON.  Albam hiyo mpya imewajumuisha wasanii kutoka maeneo mbalimbali duniani akiwamo Rick ross, Young Killer, na Davi...

Wednesday, November 1, 2017

Aslay avuta ndinga mpya itizame hapa.

Na Gerald Kitalima   Msanii wa muziki wa bongo fleva Aslay Isihaka ambaye kwa sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Natamba' amefunguka na kushukuru uongozi wake mpya kwa kufanikisha yeye kuweza kupata ndinga mpya aina ya BMW.  Aslay ambaye ndani ya muda mfupi ameweza kuachia nyimbo zaidi ya 10 na ngoma hizo nyingi kufanya vizuri na kupokelewa vyema na wananchi jambo ambalo limeweza...

Tuesday, October 31, 2017

Alichokiandika Jaguar baada ya Uhuru Kenyatta kutangazwa Rais wa Kenya.

Msanii Jaguar wa Kenya na pia Mbunge wa jimbo la Starehe County ya mjini Nairobi kupitia muungano wa chama cha Jubilee, amempongeza Uhuru Kenyatta kwa kuchaguliwa tena katika kiti cha Urais katika uchaguzi wa marudio ambao umefanyika wiki iliyopita. Kupitia mtandao wa Twitter, Jaguar ameandika, “Congratulations @UKenyatta on your reelection. I thank all who voted and equally expressed their democratic right. Let’s maintain peace.” Congratulations...

Wednesday, October 25, 2017

Shahidi afichua mapya ya Kanumba

Kesi inayomkabili Muigizaji Elizabeth Michael 'Lulu', imeendelea leo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ambapo ushahidi wa upande wa utetezi uliokuwa ukisubiriwa umewasilishwa na kusomwa na Polisi Detective Sergeant Nengea aliyerekodi. ushahidi huo kutoka kwa aliyekuwa Daktari wa Marehemu Steven Kanumba. Katika ushahidi uliosomwa na Sergeant Nengea (ambaye mahakama imemtambua kama shahidi) ambao aliurekodi...