Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani



Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani

HABARI KWA WAKATI KUTOKA HAPA

Tunakuhakikishia kupata habari zote zilizo muhimu kutoka ulimwenguni kote kwa wakati, unaweza kusubscribe mtandao wetu na ukawa unapokea habari zote katika email yako punde tu tuchapishapo machapisho yetu. Jiunge na mitandao yetu ya Facebook na Twitter kutupata kirahisi.

Labels

Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts

Wednesday, November 8, 2017

Nigeria: Emenalo Quits Chelsea Job

Former Super Eagles player, Michael Emenalo has quit as Chelsea's technical director. The English Premier League champions announced on its website yesterday that Emenalo, a key confidant of club owner, Roman Abramovich, was standing down from his role at Stamford Bridge. Emenalo acted as a link between the first team and the Blues board, had an influence on transfers, including Chelsea's much-scrutinised loan strategy, and was involved...

Tuesday, November 7, 2017

HUYU NDIYE MGHANA ALIYETEMWA NA AZAM FC.

Na Elbogast Myaluko.   Klabu ya soka ya Azam FC imetangaza kuachana na nyota wake wa kimataifa Yahaya Mohamed kutoka nchini Ghana baada ya kushindwa kuonesha kiwango cha kuridhisha. Taarifa ya klabu hiyo imesema kuwa viongozi wamekaa na mchezaji huyo na kumalizana vyema kwasababu pande zote mbili zinatambua changamoto za mchezo wa soka kuwa kuna mazingira kugoma lakini pia falsafa kutoendana na mchezaji. Aidha klabu hiyo...

TFF YAANDAA MICHEZO SOKA LA UFUKWENI

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) litatoa mafunzo ya soka la ufukweni (Beach Soccer) kwa vyuo mbalimbali hapa nchini vilivyothibitisha kushiriki Ligi Maalumu ya soka la Ufukweni itakayoanza Novemba 18, 2017. Kwa upande wa mafunzo ni kwamba yatafanyia siku tano kabla ya kuanza kwa ligi hiyo ambako itakuwa ni Novemba 13, mwaka hu. TFF imepanga kutoa mafunzo hayo kwa vyuo hivyo ili wauelewe zaidi mchezo huo pamoja na sheria...

Wednesday, November 1, 2017

Ombi la Singida United la kuutumia uwanja wa Namfua lapitishwa

Na Elbogast Myaluko Bodi ya Ligi Tanzania TPLB imetoa kibali rasmi kwa klabu ya soka ya Singida United kuanza kutumia uwanja wake wa Namfua kama uwanja wa nyumbani kwenye mechi zake za ligi kuu msimu huu. Bodi imeziandikia barua timu zote 16 za ligi kuu kuzifahamisha juu ya Singida United kuhama kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma ambao ilikuwa inautumia kama uwanja wake wa nyumbani...

Huyu ndiye refa wa mechi ya Chelsea na Man United itakayochezwa Jumapili hii

By Salum Kaorata Wikiendi hii katika ligi ya Uingereza kuna mechi kubwa mbili ambazo zinasubiriwa kwa hamu, je unazifahamu? Ni kati ya Chelsea dhidi ya Manchester United na nyingine ni Manchester City dhidi ya Arsenal. Mechi hizi zote zinatarajiwa kuchezwa siku ya Jumapili. Tuitazame mechi ya Chelsea dhidi ya United ambayo itachezwa katika uwanja wa Stamford Bridge, unamfahamu muamuzi ambaye amepangiwa kuchezesha mchezo huo? Basi...