Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani



Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani

HABARI KWA WAKATI KUTOKA HAPA

Tunakuhakikishia kupata habari zote zilizo muhimu kutoka ulimwenguni kote kwa wakati, unaweza kusubscribe mtandao wetu na ukawa unapokea habari zote katika email yako punde tu tuchapishapo machapisho yetu. Jiunge na mitandao yetu ya Facebook na Twitter kutupata kirahisi.

HABARI ZA MICHEZO

Sasa African news tunakuhakikishia kupata taarifa zote za kimichezo kutoka viwanja mbalimbali duniani, lengo ni kuhakikisha hupitwi na lolote katika ulimwengu wa michezo.Jiunge na mitandao yetu ya Facebook na Twitter kutupata kirahisi.

TAARIFA ZA BURUDANI NA HABARI ZA WASANII

Unapenda masuala ya burudani? Ni jukumu letu kuhakikisha unazipata info zote za burudani na wasanii wanaokupa burudani, unapata video mpya, movie pamoja na muziki. Kaa karibu nasi.

KURASA ZA MAGAZETI KILA SIKU

Tunakupatia kila ambacho kinaandikwa katika magazeti ya Tanzania na nje ya Tanzania, usitie shaka ukishindwa kununua gazeti uipendalo, sogea karibu nasi na upate kila unachokihitaji.

MAHUSIANO

Fahamu mambo mengi katika ulimwengu wa mapenzi kwa kupitia dondoo, simulizi na visa mbalimbali kupitia Jim Media Online, Jiunge na mitandao yetu ya Facebook na Twitter kutupata kirahisi.

Labels

Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts

Wednesday, November 8, 2017

Nigeria: Emenalo Quits Chelsea Job

Former Super Eagles player, Michael Emenalo has quit as Chelsea's technical director.

The English Premier League champions announced on its website yesterday that Emenalo, a key confidant of club owner, Roman Abramovich, was standing down from his role at Stamford Bridge.

Emenalo acted as a link between the first team and the Blues board, had an influence on transfers, including Chelsea's much-scrutinised loan strategy, and was involved in developing players from the academy.

The former Nigerian international, who joined Chelsea in 2007 and has been technical director since 2011, has already been linked with a position at Monaco.

"Chelsea Football Club today announces that technical director Michael Emenalo has decided to stand down from his role," the club said in a statement.

"Michael arrived at Chelsea in 2007 and in 10 years at Stamford Bridge has contributed to a period of unprecedented success for the first team and academy."

Emenalo said it had been a difficult decision to make, adding: "I have had the privilege to work alongside some of the most talented people in the world of sport over the past 10 years and I will depart incredibly proud of the achievements we have made.

"I wish Chelsea every success and look forward to following the club's future triumphs from afar."
Chelsea chairman Bruce Buck praised Emenalo's work.

"He has had a tremendous impact on the club over the past 10 years and this is evident in everything we have achieved," he said. "We are sorry to see him go but understand his desire to move on and explore new challenges."

Chelsea have had seven permanent managers in the period since Emenalo first arrived, plus Guus Hiddink (twice) and Rafael Benitez as lengthy interim appointments.

Head coach Antonio Conte's expressions of frustration at Chelsea's summer recruitment, plus some indifferent results, had led to speculation over his future but Conte and Emenalo had a good working relationship and the Italian said he was sorry to see him leave the club.

During his time at Stamford Bridge, Chelsea won three Premier League titles, three FA Cups, the League Cup, Europa League and the Champions League in 2012 as well as achieving huge success in youth football.

ROLE CALL OF MANAGERS DURING EMENALO'S TIME
Avram Grant (2007-08)
Luiz Felipe Scolari (2008-09)
Ray Wilkins (2009, caretaker)
Guus Hiddink (2009, interim)
Carlo Ancelotti (2009-11)

Tuesday, November 7, 2017

HUYU NDIYE MGHANA ALIYETEMWA NA AZAM FC.



Klabu ya soka ya Azam FC imetangaza kuachana na nyota wake wa kimataifa Yahaya Mohamed kutoka nchini Ghana baada ya kushindwa kuonesha kiwango cha kuridhisha.

Taarifa ya klabu hiyo imesema kuwa viongozi wamekaa na mchezaji huyo na kumalizana vyema kwasababu pande zote mbili zinatambua changamoto za mchezo wa soka kuwa kuna mazingira kugoma lakini pia falsafa kutoendana na mchezaji.

Aidha klabu hiyo imesema itaendelea kukumbuka mchango mkubwa wa Yahaya alioutoa kwenye timu hiyo hususani kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi ambapo aliisadia klabu kuibuka mabingwa.

Yahaya ataondoka nchini kesho kurejea kwao Ghana. Azam FC imesema itaanza mapema mchakato wa kumpata mrithi wa Yahaya ambaye atasajiliwa wakati wa dirisha dogo kwa kufuata mapendekezo ya mwalimu.

Azam FC inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu soka Tanzania bara ikiwa na alama 19 nyuma ya Simba SC ambayo pia ina alama 19 zikitofautiana kwa magoli ya kufunga na kufungwa.

TFF YAANDAA MICHEZO SOKA LA UFUKWENI



Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) litatoa mafunzo ya soka la ufukweni (Beach Soccer) kwa vyuo mbalimbali hapa nchini vilivyothibitisha kushiriki Ligi Maalumu ya soka la Ufukweni itakayoanza Novemba 18, 2017.

Kwa upande wa mafunzo ni kwamba yatafanyia siku tano kabla ya kuanza kwa ligi hiyo ambako itakuwa ni Novemba 13, mwaka hu. TFF imepanga kutoa mafunzo hayo kwa vyuo hivyo ili wauelewe zaidi mchezo huo pamoja na sheria zake.

Tumepeleka mchezo huo kwenye vyuo ili kutoa hamasa ya soka la ufukweni kuenea zaidi na kuweka hazina ya wachezaji wa timu ya taifa.

Mpaka sasa vyuo 14 tayari vimethibitisha kimaandishi kushiriki kwenye mafunzo hayo.
Vyuo vilivyothibitisha kushiriki ni Chuo cha Ardhi, Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Chuo Cha Ufundi (DIT), Chuo cha Usafirishaji (NIT), Chuo cha Elimu ya Tiba cha Kahiruki, Chuo cha Elimu ya Biashara cha Lisbon, Chuo cha Silva , Chuo UAUT, TIA, El-Maktoum collage Engineering, Magogoni, Chuo cha uandishi wa habari DSJ na TSJ.

Mafunzo hayo yatatanguliwa na tukio la kukutana na viongozi wa vyuo shiriki hapo Novemba 10, 2017.

Wakati huo huo kozi ya waamuzi wa Soka la Soka la Ufukweni imeanza leo Novemba 7, 2017 katika Makao Makuu ya TFF Karume, Dar es Salaam ambayo yanatarajiwa kumalizika Novemba 12, 2017.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) litatoa mafunzo ya soka la ufukweni (Beach Soccer) kwa vyuo mbalimbali hapa nchini vilivyothibitisha kushiriki Ligi Maalumu ya soka la Ufukweni itakayoanza Novemba 18, 2017.

Kwa upande wa mafunzo ni kwamba yatafanyia siku tano kabla ya kuanza kwa ligi hiyo ambako itakuwa ni Novemba 13, mwaka hu. TFF imepanga kutoa mafunzo hayo kwa vyuo hivyo ili wauelewe zaidi mchezo huo pamoja na sheria zake.

Tumepeleka mchezo huo kwenye vyuo ili kutoa hamasa ya soka la ufukweni kuenea zaidi na kuweka hazina ya wachezaji wa timu ya taifa.

Mpaka sasa vyuo 14 tayari vimethibitisha kimaandishi kushiriki kwenye mafunzo hayo.

Vyuo vilivyothibitisha kushiriki ni Chuo cha Ardhi, Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Chuo Cha Ufundi (DIT), Chuo cha Usafirishaji (NIT), Chuo cha Elimu ya Tiba cha Kahiruki, Chuo cha Elimu ya Biashara cha Lisbon, Chuo cha Silva , Chuo UAUT, TIA, El-Maktoum collage Engineering, Magogoni, Chuo cha uandishi wa habari DSJ na TSJ.

Mafunzo hayo yatatanguliwa na tukio la kukutana na viongozi wa vyuo shiriki hapo Novemba 10, 2017.

Wakati huo huo kozi ya waamuzi wa Soka la Soka la Ufukweni imeanza leo Novemba 7, 2017 katika Makao Makuu ya TFF Karume, Dar es Salaam ambayo yanatarajiwa kumalizika Novemba 12, 2017.

Wednesday, November 1, 2017

Ombi la Singida United la kuutumia uwanja wa Namfua lapitishwa



Bodi ya Ligi Tanzania TPLB imetoa kibali rasmi kwa klabu ya soka ya Singida United kuanza kutumia uwanja wake wa Namfua kama uwanja wa nyumbani kwenye mechi zake za ligi kuu msimu huu.

Bodi imeziandikia barua timu zote 16 za ligi kuu kuzifahamisha juu ya Singida United kuhama kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma ambao ilikuwa inautumia kama uwanja wake wa nyumbani na sasa itarejea Singida kwenye uwanja wa Namfua.

Uwanja huo wa Namfua utaanza kutumika Jumamosi hii Novemba 4 kwenye mchezo wa Ligi kuu soka Tanzania bara raundi ya 9 ambapo Singida United itacheza na mabingwa watetezi Yanga.


Singida United wamewaaga rasmi mashabiki wao wa  mkoani Dodoma na kuwatakia kila la kheri na timu yao ya Dodoma FC wakiwaombea ipande daraja ili mwkaani waweze kushuhudia uhondo wa Ligi Kuu.

Huyu ndiye refa wa mechi ya Chelsea na Man United itakayochezwa Jumapili hii


By 

Wikiendi hii katika ligi ya Uingereza kuna mechi kubwa mbili ambazo zinasubiriwa kwa hamu, je unazifahamu? Ni kati ya Chelsea dhidi ya Manchester United na nyingine ni Manchester City dhidi ya Arsenal.

Mechi hizi zote zinatarajiwa kuchezwa siku ya Jumapili. Tuitazame mechi ya Chelsea dhidi ya United ambayo itachezwa katika uwanja wa Stamford Bridge, unamfahamu muamuzi ambaye amepangiwa kuchezesha mchezo huo? Basi tambua kuwa anaitwa Anthony Taylor na anaumri wa miaka 39.

Taylor amezaliwa katika eneo la Wythenshawe mjini Manchester na alianza kuchezesha mechi za ligi kuu ya Uingereza tangu mwaka 2010 lakini kabla ya kufika hapo alianza kazi hiyo ya urefa tangu mwaka 2002 katika ngazi za chini.

Picha ya Anthony Taylor atakayechezesha mechi ya Chelsea na Manchester United Jumapili hii kjatika uwanja wa Stamford Bridge


Mwaka 2013 neema ilimuangukia Taylor kwa kuchaguliwa kuwa miongoni mwa waamuzi wa shirikisho la soka duniani Fifa. Huyu pia ndiye alichezesha mechi ya fainali ya kombe la FA msimu uliopita kati ya Chelsea na Arsenal katika uwanja wa Wembley ambapo Arsenal waliibuka washindi na kutwaa kombe hilo.

Refa huyu mpaka sasa ameshafanikiwa kuchezesha michezo 172 na ametoa kadi za njano 592 na kadi nyekundu 29.

Katika mchezo ambao atachezesha Jumapili hii, Taylor atasaidiana na waamuzi wengine Gary Beswick na Adam Nunn (wote washika vibendera) na Craig Pawson ambaye atakuwa kamisaa wa mchezo huo.