Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Wednesday, November 8, 2017
Nigeria: Emenalo Quits Chelsea Job
Former Super Eagles player, Michael Emenalo has quit as Chelsea's technical director.
The English Premier
League champions announced on its website yesterday that Emenalo, a key
confidant of club owner, Roman Abramovich, was standing down from his
role at Stamford Bridge.
Emenalo acted as a
link between the first team and the Blues board, had an influence on
transfers, including Chelsea's much-scrutinised loan strategy, and was
involved in developing players from the academy.
The former Nigerian
international, who joined Chelsea in 2007 and has been technical
director since 2011, has already been linked with a position at Monaco.
"Chelsea Football
Club today announces that technical director Michael Emenalo has decided
to stand down from his role," the club said in a statement.
"Michael arrived at
Chelsea in 2007 and in 10 years at Stamford Bridge has contributed to a
period of unprecedented success for the first team and academy."
Emenalo said it had
been a difficult decision to make, adding: "I have had the privilege to
work alongside some of the most talented people in the world of sport
over the past 10 years and I will depart incredibly proud of the
achievements we have made.
"I wish Chelsea every success and look forward to following the club's future triumphs from afar."
Chelsea chairman Bruce Buck praised Emenalo's work.
"He has had a
tremendous impact on the club over the past 10 years and this is evident
in everything we have achieved," he said. "We are sorry to see him go
but understand his desire to move on and explore new challenges."
Chelsea have had
seven permanent managers in the period since Emenalo first arrived, plus
Guus Hiddink (twice) and Rafael Benitez as lengthy interim
appointments.
Head coach Antonio
Conte's expressions of frustration at Chelsea's summer recruitment, plus
some indifferent results, had led to speculation over his future but
Conte and Emenalo had a good working relationship and the Italian said
he was sorry to see him leave the club.
During his time at
Stamford Bridge, Chelsea won three Premier League titles, three FA Cups,
the League Cup, Europa League and the Champions League in 2012 as well
as achieving huge success in youth football.
ROLE CALL OF MANAGERS DURING EMENALO'S TIME
Avram Grant (2007-08)
Luiz Felipe Scolari (2008-09)
Ray Wilkins (2009, caretaker)
Guus Hiddink (2009, interim)
Carlo Ancelotti (2009-11)
Tuesday, November 7, 2017
HUYU NDIYE MGHANA ALIYETEMWA NA AZAM FC.
Na Elbogast Myaluko.
Klabu ya soka ya Azam FC imetangaza
kuachana na nyota wake wa kimataifa Yahaya Mohamed kutoka nchini Ghana
baada ya kushindwa kuonesha kiwango cha kuridhisha.
Taarifa ya klabu hiyo imesema kuwa viongozi wamekaa na mchezaji huyo na kumalizana vyema kwasababu pande zote mbili zinatambua changamoto za mchezo wa soka kuwa kuna mazingira kugoma lakini pia falsafa kutoendana na mchezaji.
Aidha klabu hiyo imesema itaendelea kukumbuka mchango mkubwa wa Yahaya alioutoa kwenye timu hiyo hususani kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi ambapo aliisadia klabu kuibuka mabingwa.
Yahaya ataondoka nchini kesho kurejea kwao Ghana. Azam FC imesema itaanza mapema mchakato wa kumpata mrithi wa Yahaya ambaye atasajiliwa wakati wa dirisha dogo kwa kufuata mapendekezo ya mwalimu.
Azam FC inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu soka Tanzania bara ikiwa na alama 19 nyuma ya Simba SC ambayo pia ina alama 19 zikitofautiana kwa magoli ya kufunga na kufungwa.
Taarifa ya klabu hiyo imesema kuwa viongozi wamekaa na mchezaji huyo na kumalizana vyema kwasababu pande zote mbili zinatambua changamoto za mchezo wa soka kuwa kuna mazingira kugoma lakini pia falsafa kutoendana na mchezaji.
Aidha klabu hiyo imesema itaendelea kukumbuka mchango mkubwa wa Yahaya alioutoa kwenye timu hiyo hususani kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi ambapo aliisadia klabu kuibuka mabingwa.
Yahaya ataondoka nchini kesho kurejea kwao Ghana. Azam FC imesema itaanza mapema mchakato wa kumpata mrithi wa Yahaya ambaye atasajiliwa wakati wa dirisha dogo kwa kufuata mapendekezo ya mwalimu.
Azam FC inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu soka Tanzania bara ikiwa na alama 19 nyuma ya Simba SC ambayo pia ina alama 19 zikitofautiana kwa magoli ya kufunga na kufungwa.
TFF YAANDAA MICHEZO SOKA LA UFUKWENI
Shirikisho la Mpira wa Miguu
Tanzania (TFF) litatoa mafunzo ya soka la ufukweni (Beach Soccer) kwa
vyuo mbalimbali hapa nchini vilivyothibitisha kushiriki Ligi Maalumu ya
soka la Ufukweni itakayoanza Novemba 18, 2017.
Kwa upande wa mafunzo ni kwamba
yatafanyia siku tano kabla ya kuanza kwa ligi hiyo ambako itakuwa ni
Novemba 13, mwaka hu. TFF imepanga kutoa mafunzo hayo kwa vyuo hivyo ili
wauelewe zaidi mchezo huo pamoja na sheria zake.
Tumepeleka mchezo huo kwenye vyuo ili
kutoa hamasa ya soka la ufukweni kuenea zaidi na kuweka hazina ya
wachezaji wa timu ya taifa.
Mpaka sasa vyuo 14 tayari vimethibitisha kimaandishi kushiriki kwenye mafunzo hayo.
Vyuo vilivyothibitisha kushiriki ni
Chuo cha Ardhi, Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Chuo Cha Ufundi (DIT),
Chuo cha Usafirishaji (NIT), Chuo cha Elimu ya Tiba cha Kahiruki, Chuo
cha Elimu ya Biashara cha Lisbon, Chuo cha Silva , Chuo UAUT, TIA,
El-Maktoum collage Engineering, Magogoni, Chuo cha uandishi wa habari
DSJ na TSJ.
Mafunzo hayo yatatanguliwa na tukio la kukutana na viongozi wa vyuo shiriki hapo Novemba 10, 2017.
Wakati huo huo kozi ya waamuzi wa Soka
la Soka la Ufukweni imeanza leo Novemba 7, 2017 katika Makao Makuu ya
TFF Karume, Dar es Salaam ambayo yanatarajiwa kumalizika Novemba 12,
2017.
Shirikisho la Mpira wa Miguu
Tanzania (TFF) litatoa mafunzo ya soka la ufukweni (Beach Soccer) kwa
vyuo mbalimbali hapa nchini vilivyothibitisha kushiriki Ligi Maalumu ya
soka la Ufukweni itakayoanza Novemba 18, 2017.
Kwa upande wa mafunzo ni kwamba
yatafanyia siku tano kabla ya kuanza kwa ligi hiyo ambako itakuwa ni
Novemba 13, mwaka hu. TFF imepanga kutoa mafunzo hayo kwa vyuo hivyo ili
wauelewe zaidi mchezo huo pamoja na sheria zake.
Tumepeleka mchezo huo kwenye vyuo ili
kutoa hamasa ya soka la ufukweni kuenea zaidi na kuweka hazina ya
wachezaji wa timu ya taifa.
Mpaka sasa vyuo 14 tayari vimethibitisha kimaandishi kushiriki kwenye mafunzo hayo.
Vyuo vilivyothibitisha kushiriki ni
Chuo cha Ardhi, Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Chuo Cha Ufundi (DIT),
Chuo cha Usafirishaji (NIT), Chuo cha Elimu ya Tiba cha Kahiruki, Chuo
cha Elimu ya Biashara cha Lisbon, Chuo cha Silva , Chuo UAUT, TIA,
El-Maktoum collage Engineering, Magogoni, Chuo cha uandishi wa habari
DSJ na TSJ.
Mafunzo hayo yatatanguliwa na tukio la kukutana na viongozi wa vyuo shiriki hapo Novemba 10, 2017.
Wakati huo huo kozi ya waamuzi wa Soka
la Soka la Ufukweni imeanza leo Novemba 7, 2017 katika Makao Makuu ya
TFF Karume, Dar es Salaam ambayo yanatarajiwa kumalizika Novemba 12,
2017.
Wednesday, November 1, 2017
Ombi la Singida United la kuutumia uwanja wa Namfua lapitishwa
Na Elbogast Myaluko
Bodi ya Ligi Tanzania TPLB imetoa
kibali rasmi kwa klabu ya soka ya Singida United kuanza kutumia uwanja
wake wa Namfua kama uwanja wa nyumbani kwenye mechi zake za ligi kuu
msimu huu.
Bodi imeziandikia barua timu zote 16 za ligi kuu kuzifahamisha juu ya Singida United kuhama kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma ambao ilikuwa inautumia kama uwanja wake wa nyumbani na sasa itarejea Singida kwenye uwanja wa Namfua.
Uwanja huo wa Namfua utaanza kutumika Jumamosi hii Novemba 4 kwenye mchezo wa Ligi kuu soka Tanzania bara raundi ya 9 ambapo Singida United itacheza na mabingwa watetezi Yanga.
Singida United wamewaaga rasmi mashabiki wao wa mkoani Dodoma na kuwatakia kila la kheri na timu yao ya Dodoma FC wakiwaombea ipande daraja ili mwkaani waweze kushuhudia uhondo wa Ligi Kuu.
Huyu ndiye refa wa mechi ya Chelsea na Man United itakayochezwa Jumapili hii
By Salum Kaorata
Wikiendi hii katika ligi ya Uingereza kuna mechi kubwa mbili ambazo zinasubiriwa kwa hamu, je unazifahamu? Ni kati ya Chelsea dhidi ya Manchester United na nyingine ni Manchester City dhidi ya Arsenal.
Mechi hizi zote zinatarajiwa kuchezwa siku ya Jumapili. Tuitazame mechi ya Chelsea dhidi ya United ambayo itachezwa katika uwanja wa Stamford Bridge, unamfahamu muamuzi ambaye amepangiwa kuchezesha mchezo huo? Basi tambua kuwa anaitwa Anthony Taylor na anaumri wa miaka 39.
Taylor amezaliwa katika eneo la Wythenshawe mjini Manchester na alianza kuchezesha mechi za ligi kuu ya Uingereza tangu mwaka 2010 lakini kabla ya kufika hapo alianza kazi hiyo ya urefa tangu mwaka 2002 katika ngazi za chini.
Picha ya Anthony Taylor atakayechezesha mechi ya Chelsea na Manchester United Jumapili hii kjatika uwanja wa Stamford Bridge
Mwaka 2013 neema ilimuangukia Taylor kwa kuchaguliwa kuwa miongoni mwa waamuzi wa shirikisho la soka duniani Fifa. Huyu pia ndiye alichezesha mechi ya fainali ya kombe la FA msimu uliopita kati ya Chelsea na Arsenal katika uwanja wa Wembley ambapo Arsenal waliibuka washindi na kutwaa kombe hilo.
Refa huyu mpaka sasa ameshafanikiwa kuchezesha michezo 172 na ametoa kadi za njano 592 na kadi nyekundu 29.
Katika mchezo ambao atachezesha Jumapili hii, Taylor atasaidiana na waamuzi wengine Gary Beswick na Adam Nunn (wote washika vibendera) na Craig Pawson ambaye atakuwa kamisaa wa mchezo huo.