Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani



Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani

HABARI KWA WAKATI KUTOKA HAPA

Tunakuhakikishia kupata habari zote zilizo muhimu kutoka ulimwenguni kote kwa wakati, unaweza kusubscribe mtandao wetu na ukawa unapokea habari zote katika email yako punde tu tuchapishapo machapisho yetu. Jiunge na mitandao yetu ya Facebook na Twitter kutupata kirahisi.

Labels

Showing posts with label UCHUMI. Show all posts
Showing posts with label UCHUMI. Show all posts

Friday, November 17, 2017

Kenya Airways costs cut help narrow half-year loss to $37m.

   Kenya Airways chairman Michael Joseph (left) and CEO Sebastian Mikosz during the half-year results release on November 17, 2017. PHOTO | SALATON NJAU | NMG . By The EastAfrican More by this Author   Kenya Airways has narrowed its half-year net loss to Ksh3.8 billion ($36.7 million) compared to Ksh4.8 billion ($46.2 million) for a similar period in 2016, on reduced costs. The national carrier's operating profit for the...

Tuesday, October 31, 2017

Benki ya kilimo kusaidia mageuzi ya Kilimo Njombe.

    Na mwandishi wetu, Njombe Benki ya Maendeleo ya Kilimo ya Tanzania (TADB) imesema imejipanga katika kusaidia kuchagiza kusaidia Mapinduzi ya Kilimo kutoka kilimo cha kujikimu kwenda cha kibiashara ili kuchangia kwenye ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini kwa wakulima mkoani Njombe na Tanzania kwa ujumla. Ahadi imetolewa na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya TADB, Bibi Rehema Twalib wakati alipouongoza ujumbe...