Baraza la mitihani la Taifa limetolea matokeo ya darasa la Saba huku
ufaulu umeongezeka kwa asilimia 2.4 kutoka asilimia 70.36 ya mwaka 2016
hadi asilimia 72.76 mwaka 2017.
Mikoa iliyofanya vizuri ni Dar es Salaam, Geita, Kagera, Iringa, Kilimanjaro, Njombe, Arusha, Mwanza, Katavi na Tabora wakati shule zilizofanya vizuri ni St Peter na At Severine- Kagera, Alliance- Mwanza, sir John - Tanga, Palikas-Shinyanga, Mwanga-kagera, Hazina na St Anne Marie- Dar, Rweikiza- Kagera na Martin Luther- Dodoma.
Kuyaona matokeo Bofya HAPA
Mikoa iliyofanya vizuri ni Dar es Salaam, Geita, Kagera, Iringa, Kilimanjaro, Njombe, Arusha, Mwanza, Katavi na Tabora wakati shule zilizofanya vizuri ni St Peter na At Severine- Kagera, Alliance- Mwanza, sir John - Tanga, Palikas-Shinyanga, Mwanga-kagera, Hazina na St Anne Marie- Dar, Rweikiza- Kagera na Martin Luther- Dodoma.
Kuyaona matokeo Bofya HAPA
0 comments:
Post a Comment