Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani



Kwa habari za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiburudani

Labels

Monday, November 13, 2017

HUU NDIO UJIO WA ALBAM MPYA YA DIAMOND IITWAYO "A BOY FROM TANDALE"



Ni alipokuwa akifanya mazungumzo baina ya Salim Kikeke wa shirika la Utangazaji la Uingereza BBC na Msanii Diamond Platnumz Alipotembelea BBC LONDON.

 Albam hiyo mpya imewajumuisha wasanii kutoka maeneo mbalimbali duniani akiwamo Rick ross, Young Killer, na Davido

0 comments:

Post a Comment