IGP wa Tanzania, Simon Sirro amekutana na kufanya mazungumzo na IGP wa Rwanda, Emmanuel Gasana wakubaliana kushirikiana kudhibiti uhalifu wa mpakani.
Pia watabadilishana uzoefu kwenye mambo kadhaa likiwamo la Uhalifu Mtandaoni (Cybercrimes) ambalo limekuwa ni changamoto kubwa kwa Tanzania.
0 comments:
Post a Comment