Mlipuko unaosadikiwa kuwa ni bomu umeuwa wanafunzi watatu wilayani
Ngara mkoani Kagera na kujeruhi wengine kadhaa katika shule ya msingi
Kihinga wilayani Ngara Mkoani Kagera.
Jeshi la polisi tayari lipo eneo la tukio kufuatilia na kufanya uchunguzi, na taarifa kamili zitatolewa baada ya muda mfupi.
0 comments:
Post a Comment